NJIA ZA MALIPO
AMANA BANK:
Tshs: 001120024610001
USD: 00112002461002
PBZ BANK:
Tshs: 0370157000
USD: 0450705000
CRDB BANK:
Tshs: 01J1024740300
USD: 02J1024740300
GHARAMA ZETU
HIJJA:
DOLA 6,100
KUHIJIWA:
DOLA 2,500
UMRA YA RAMADHANI
DOLA 3,000
VIONGOZI WATENDAJI

(Maalim Siasa)


OFISI YETU NA MATAWI YAKE
Taasisi yetu makao makuu na matawi mawili kama ifuatavyo:

ZANZIBAR
Hapa ndipo makao makuu ya Taasisi ya Ahlu Sunna Wal Jamaa Hajj and Umra Trust.
Ofisi hii inaongozwa na Dr. Muhyiddin Ahmad (Maalim Siasa).
Ofisi hii inapatikana Madrasat, Rahaleo, Nyuma ya Jengo la Radio Zanzibar.
Mawasiliano: +255 777 468 018
PEMBA
Hili ni tawi la Taasisi ya Ahlu Sunna Wal Jamaa Hajj and Umra Trust.
Ofisi hii inaongozwa na Ustadhi Mohamed Said.
Ofisi hii inapatikana Sea View Hotel, Machomane, Chake Chake.
Mawasiliano: +255 773 222 452


DAR ES SALAAM
Hili ni tawi la Taasisi ya Ahlu Sunna Wal Jamaa Hajj and Umra Trust.
Ofisi hii inaongozwa na Alhajj Rajab O. Kirahi.
Ofisi hii inapatikana Kariakoo, Barabara ya Lumumba, Jengo la Saba General Ent. Ltd, Ghorofa ya tatu, Pembeni ya PBZ Bank Lumumba.
Mawasiliano: +255 683 655 621
KWANINI UTUCHAGUE SISI
Taasisi yetu imekuwa na huduma bora inayoendelea kukua kila mwaka, ubora wa uendeshaji huduma, timu ya wataalam, upatikanaji wa msaada wakati wote, matokeo bora ya kuridhishwa kwa huduma kutoka kwa wateja wetu na utayari wa kukusikiliza na kukushauri inapohitajika.